Unaweza ukawa na shep kama umeshushwa vile, yaani hujazaliwa, lakini
kama huna bahati ni kazi bure. Utakuwa na furaha kipindi ambacho umevaa
nguo tu unatembea huku wanaume wakikuangalia kwa macho ya tamaa na
kukusifia.
Jiheshimu, mheshimu ulokuwa nae, kisa una shep, unaamini hata ukiachwa
Leo utapata mwingine. Utamaliza waganga ukitafuta mume. Wenzako na shep
zao za mstatili wanaolewa tu, shauri yako .
Mwanaume pesa zisikupe kiburi, utaishia kupendwa na wanawake wanaokuja
kwa ajili ya hela zako tu, kisa umepata hela unamdharau mloanza nae
maisha , kuanzia ukiwa kapuku mpa unaitwa boss,unamwambia sio hadhi
yako, utakuwa unamkosea sana.
Usidharau ulichokuwa nacho. Kikitoweka utakikumbuka
Laana sio lazima uipate kwa mzazi alokuzaa tu.
Ujana haubagui.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients
Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...
-
:Kumbe Ukosefu wa Makalio Makubwa Unawafanya Wanawake Wasijikubali Unahisi kwanini
-
huwa tunakuletea Mishono mbalimbali ya nguo,leo tuna mishono ya lace ,vitenge na satin.Naomba kuiita hii peplum new level wengine waita pep...
-
Upo wakati ambapo baadhi ya wasichana huwa hawaridhiki na maumbile yao ya asili, wengine hupenda kuwa wembamba hasa pale mtindo wa maisha...
No comments:
Post a Comment