Sunday 5 August 2018

MWANAMKE Usiringie Shep, Mwanaume Usiringie Hela, Bahati tu ndo ya Kuringia.....

Unaweza ukawa na shep kama umeshushwa vile, yaani hujazaliwa, lakini kama huna bahati ni kazi bure. Utakuwa na furaha kipindi ambacho umevaa nguo tu unatembea huku wanaume wakikuangalia kwa macho ya tamaa na kukusifia.

Jiheshimu, mheshimu ulokuwa nae, kisa una shep, unaamini hata ukiachwa Leo utapata mwingine. Utamaliza waganga ukitafuta mume. Wenzako na shep zao za mstatili wanaolewa tu, shauri yako .



Mwanaume pesa zisikupe kiburi, utaishia kupendwa na wanawake wanaokuja kwa ajili ya hela zako tu, kisa umepata hela unamdharau mloanza nae maisha , kuanzia ukiwa kapuku mpa unaitwa boss,unamwambia sio hadhi yako, utakuwa unamkosea sana.

Usidharau ulichokuwa nacho. Kikitoweka utakikumbuka
Laana sio lazima uipate kwa mzazi alokuzaa tu.
Ujana haubagui.

No comments:

Post a Comment

Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients

Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...