Mrembo Jane Rimoy kwa jina maarufu anajulikana Kama Sanchi au Sanchoka
anayefanya shughuli za umodel nchini Tanzania , ameweka wazi kwa
mwanaume Mwenye nia ya kumuoa mahari yake kwa Sasa ajiandae kutoa
million 20.
Mahari yake imepanda ghafla kutoka million 10 mpaka million 20 baada ya
kushinda shindano la Ijumaa Figa Bomba Girl 2017 lililo andaliwa na
Global Publisher.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients
Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...
-
:Kumbe Ukosefu wa Makalio Makubwa Unawafanya Wanawake Wasijikubali Unahisi kwanini
-
huwa tunakuletea Mishono mbalimbali ya nguo,leo tuna mishono ya lace ,vitenge na satin.Naomba kuiita hii peplum new level wengine waita pep...
-
Upo wakati ambapo baadhi ya wasichana huwa hawaridhiki na maumbile yao ya asili, wengine hupenda kuwa wembamba hasa pale mtindo wa maisha...
No comments:
Post a Comment