Wednesday 22 August 2018

Wema Sepetu Kuja na Kitu gani June 30???


Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu baada ya kufungua App yake sasa anakuja na kitu kingine ambacho bado kipo kwenye mabano hadi ifikapo Juni 30, 2018.
Muigizaji huyo amekuwa aliwaomba mashabiki wake kuitunza tarehe hiyo na kuikumbuka ili kufahamu kiundani ujio wa siku hiyo
Ujumbe huo ametuma Kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Diamond Platinumz aendelea kudhirisha ushikaji wake na mlimbwende Wema Sepetu kwa kumsapoti katika hili kwa kuposti kwenye ukurasa wake na kuandika ”Save the date” huku Wema akimjibu You are the Best”.
Ni kweli bado haijawekwa wazi nini hasa kina kuja, kwani tunavyojua Wema Sepetu ni mwanamke aliyejikita katika shughuli mbalimbali katika jamii.
Hivyo kaa tayari.
Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Wema Sepetu ameandika,
Just save the date,
wiki,week 21
siku/day 151

No comments:

Post a Comment

Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients

Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...