Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu baada ya kufungua App yake
sasa anakuja na kitu kingine ambacho bado kipo kwenye mabano hadi
ifikapo Juni 30, 2018.
Muigizaji huyo amekuwa aliwaomba mashabiki wake kuitunza tarehe hiyo na kuikumbuka ili kufahamu kiundani ujio wa siku hiyo
Ujumbe huo ametuma Kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Diamond Platinumz aendelea kudhirisha ushikaji wake na mlimbwende Wema
Sepetu kwa kumsapoti katika hili kwa kuposti kwenye ukurasa wake na
kuandika ”Save the date” huku Wema akimjibu You are the Best”.
Ni kweli bado haijawekwa wazi nini hasa kina kuja, kwani tunavyojua Wema
Sepetu ni mwanamke aliyejikita katika shughuli mbalimbali katika jamii.
Hivyo kaa tayari.
Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Wema Sepetu ameandika,
Just save the date,
wiki,week 21
siku/day 151
No comments:
Post a Comment