Friday 13 April 2018

ANGALIA SUTI YA PINK INAVYO VUTIA KWA WANAUME

Yasss wanaume wengi hawataki kuvaa anything pink iwe shati,au suruali au t shirt,cape you name it ,hawavai sababu wengine wakihisi kwamba Pink is for women,well mmesahau ule msemo wa Real Men wear Pink???
Anyone can wear pink basi tu ushamba wenu ndo unawasumbua ,ukivaa pink kuna uhusiano gani wa kua mwanamke???
Chukueni darasa toka kwa Petite Mana Wakuache yeye kapiga full suit ya pink na tumemuelewa.
Accessories pia katupia zenye pink kama tie na socks




No comments:

Post a Comment

Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients

Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...