Monday 11 September 2017

Hivi nani ana rock hii style ya nywele sasa hivi???

Style hizi zilipendwa ila kwa wale ambao hawajali kuhusu fashion ,they are here to slay and be unique wanaweza rock hii style.
mwendo wa natural hair unachanganya na nyuzi
sijui ndo inaitwa style ya matairi maana ilivyokaa ka matairi ya baskeli
but ni very unique kwakweli

No comments:

Post a Comment

Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients

Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...