Style hizi zilipendwa ila kwa wale ambao hawajali kuhusu fashion ,they are here to slay and be unique wanaweza rock hii style.

mwendo wa natural hair unachanganya na nyuzi

sijui ndo inaitwa style ya matairi maana ilivyokaa ka matairi ya baskeli

but ni very unique kwakweli

No comments:
Post a Comment