Msaada!! naomba dawa/cream ya kutoa madoa ya tetekuwanga kwa anaejua
MAONI YA WADAU.
WAKWANZA Faiza me pia nliugua huo ugonjwa nikiwa na miaka 6 au mitano nadhani halafu me ni mwepe hatari weupe wa asili sio wa cream,yaani hadi leo madoa yapo hasa kwenye mapaja na sioni haja ya kuyatoa yan hayajanistua bado me nadhani ungeyaacha tu mana kutoa huenda kukaja kukugharimu zaidi mana siki hizi kuna kila dawa
WAPOLI Ayaache yatakwisha mimi nakumbuka nilipata huo ugonjwa nikiwa mkubwa na nilikuwa na madoa sikumbuki kutumia kitu chochote ila nachojua madoa yaliisha yenyewe.
WA TATU
da unavyoenda na vyenyewe vinapungua hata usiogope…labda kama forever living wana dawa..maana ndio alternative method ninayoiamini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients
Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...
-
:Kumbe Ukosefu wa Makalio Makubwa Unawafanya Wanawake Wasijikubali Unahisi kwanini
-
huwa tunakuletea Mishono mbalimbali ya nguo,leo tuna mishono ya lace ,vitenge na satin.Naomba kuiita hii peplum new level wengine waita pep...
-
Upo wakati ambapo baadhi ya wasichana huwa hawaridhiki na maumbile yao ya asili, wengine hupenda kuwa wembamba hasa pale mtindo wa maisha...
No comments:
Post a Comment