Wednesday 11 October 2017

Tunajiremba kwa pesa zetu, kinachowaumiza wanaume ni kipi?

Wanaume naomba niwaulize kitu kimoja,

Kwanini mnaumia sana sisi kujiremba? Yaani nafanya kazi, natengeneza pesa, naenda saluni natengeneza nywele zangu, nabandika kucha, naweka kope zangu za bandia kwa pesa zangu. Mwanaume anatoka huko roho inamuuma eti "Akina dada wanajiremba sana, ooh sipendi wanawake wanaoweka weaving.. blah blah"


7f8b9b3fcd1a769c4b4a4548da312f75--black-bridal-makeup-black-makeup.jpg 8c6ec9bca5a4e82e092144907b6197cb--orange-eyeshadow-eyeshadow-ideas.jpg 1ff5532bafeec84f339f6e452ed58e8c.jpg

Jamani kwani mwili wako? Kwani pesa zako? Kwani mimi mwanamke wako? Kwani mimi ndugu yako?

Hebu tuacheni jamani, ni mapenzi yetu na gharama zetu.

No comments:

Post a Comment

Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients

Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...