Amani iwe kwenu.
Kama nilivyo anza na kichwa cha habari mwenye ujuzi ama ufahamu wa kwanini nguo ugeuzwa ndani nje wakati wa kuanika baada ya kufuliwa?
Nawakilisha
MAJIBU
Kwanza ni sababu ya kuzuia nguo isipauke saaana sababu ya jua, pili kufanya nguo isichafuke wakati wa vumbi
Ni mazoea tu wengine huwa hatugeuzi mfano mimi
Iweze kutakata inapofuliwa maana sehemu ya ndani ndio yenye uchafu zaidi na mikono au mashine huiguza nguo zaidi sehemu za juu.
Hasa makwapani na sehemu zilizopindwa.
Ukibishia jaribu
Kwanza wakati wa ufuaji lazima ufue kwa ndani..kwa mfano..kwenye pindo za miguu ya surual, pindo za mashati, skirt/magaun..n.k. kwasababu maeneo hayo hushafuka zaidi adha kutokana na mafuta yanayopakwa mwilini, vumbi..jasho..n.k. general sehemu za ndan ndio hushafuka zaid..nje ni vumbi tu. Hupaswi kugeuza wakat wa kuanika bali wakat wa kufua.
Hiyo ni kufua kwa kiswahili lakini ukitumia washing mashine....vyovyote vile hata usipogeuza haina shida...na huwa unaigeuza sababu ya vumbi tu....wakati wa kuanika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Weusi Kwa (Pubic Areas) Mapajani na Kwapani Kwa Kutumia Hizi Simple Ingridients
Kuwa na Mapaja meusi au kwapa jeusi kweli ni issue wanayoface wanawake wengi sana so usishangae wala kwasababu ur not alone,mtu unakuwa na ...

-
huwa tunakuletea Mishono mbalimbali ya nguo,leo tuna mishono ya lace ,vitenge na satin.Naomba kuiita hii peplum new level wengine waita pep...
-
Kujipenda na Jithamini kimwili na kiakili huongeza furaha yako. Mwili wako ni chombo cha muhimu sana katika maisha yako ya s...
-
The perks of shopping online ,yani kushop online kunahitaji umakini sana sana ,sio kununua tu ,iwe website za nje au ku shop tu locally kwe...
No comments:
Post a Comment